Font Size
3 Yohana 11-13
Neno: Bibilia Takatifu
3 Yohana 11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 Mpendwa, usiige ubaya bali iga wema. Atendaye mema ni wa Mungu. Atendaye uovu hajapata kumwona Mungu. 12 Demetrio anashuhudiwa wema na kila mtu na hata kweli yenyewe inamshuhudia. Mimi pia ninamshuhudia wema, na wewe unajua kwamba ushuhuda wangu ni wa kweli.
Salamu Za Mwisho
13 Ninayo mengi ya kukuandikia, lakini afadhali nisitumie kalamu na wino.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica