Font Size
3 Yohana 13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Yohana 13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
13 Nina mambo mengi nataka kukueleza. Lakini sipendi kutumia kalamu na wino. 14 Natumaini kukutembelea hivi karibuni. Hapo tunaweza kukaa pamoja na kuongea uso kwa uso. 15 Amani kwako. Rafiki walio pamoja nami hapa wakutumia upendo wao. Tafadhali wapatie upendo wetu kila rafiki waliopo huko.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International