Font Size
3 Yohana 6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Yohana 6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Hao waliliambia kanisa juu ya upendo ulio nao. Tafadhali wasaidie kuendelea na safari yao. Wasaidie katika njia ambayo itampendeza Mungu. 7 Safari hiyo waliyoenda ni ya kumtumikia Kristo. Hawakupokea msaada wowote kutoka kwa watu wasioamini. 8 Hivyo inatupasa kuwasaidia. Tunapowasaidia, tunashiriki kazi yao katika ile kweli.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International