Font Size
3 Yohana 8-10
Neno: Bibilia Takatifu
3 Yohana 8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Kwa hiyo tunawajibu wa kuwasaidia watu wa namna hiyo ili tuwe watenda kazi pamoja nao kwa ajili ya kweli.
Diotrefe Na Demetrio
9 Niliandika barua kwa hilo kanisa; lakini Diotrefe apendaye kujiweka mbele kama kiongozi wao, hatambui mamlaka yangu. 10 Kwa hiyo nitakapokuja nitaeleza mambo anayofanya; na kuhusu maneno maovu anayosema juu yangu. Wala hatosheki na hayo bali anakataa kuwakaribisha ndugu. Pia anawazuia wale ambao wanataka kuwakarib isha na anawafukuza kutoka katika kanisa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica