Font Size
Wakolosai 4:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Wakolosai 4:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mambo ya Kufanya
2 Msiache kuomba kamwe. Iweni tayari kwa lolote kwa kuomba na kushukuru. 3 Mtuombee na sisi pia, ili Mungu atupe fursa za kuwaeleza watu ujumbe wake. Nimefungwa kwa sababu ya hili. Lakini ombeni ili tuendelee kuwaeleza watu siri ya kweli ambayo Mungu ameiweka wazi kuhusu Kristo. 4 Niombeeni ili niseme yanayonipasa kusema, ili niweze kuiweka wazi kweli hii kwa kila mtu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International