Font Size
Waebrania 10:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waebrania 10:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
5 Hivyo baada ya Kristo kuja ulimwenguni alisema:
“Huhitaji sadaka na sadaka,
lakini umeandaa mwili kwa ajili yangu.
6 Hukuridhishwa na sadaka za kuteketezwa
na sadaka kuondoa dhambi.
7 Kisha nikasema, ‘Nipo hapa, Mungu.
Imeandikwa juu yangu katika kitabu cha sheria.
Nimekuja kufanya yale unayopenda.’”(A)
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International