Font Size
Luka 10:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 10:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Akawaambia, “Mavuno ni mengi lakini wafanya kazi ni wachache, kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno awapeleke wavunaji zaidi katika shamba lake. 3 Haya, nendeni. Ninawatuma kama kondoo kati ya mbwa mwitu. 4 Msichukue mkoba wala mfuko, wala viatu; na msipoteze muda kumsalimu mtu ye yote njiani.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica