Font Size
Luka 10:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 10:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Aliwaambia, “Kuna mavuno mengi ya watu wa kuwaingiza katika Ufalme wa Mungu. Lakini watenda kazi wa kuwaingiza katika ufalme wa Mungu ni wachache. Mungu anamiliki mavuno. Mwombeni ili atume watenda kazi wengi ili wasaidie kuyaingiza mavuno yake.
3 Mnaweza kwenda sasa. Lakini sikilizeni! Ninawatuma na mtakuwa kama kondoo katikati ya mbwa mwitu. 4 Msibebe mfuko wowote, wala pesa au viatu. Msisimame kusalimiana na watu njiani.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International