Font Size
Luka 10:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 10:28-30
Neno: Bibilia Takatifu
28 Yesu akamwambia, “Jibu lako ni sahihi. Fanya hivyo nawe utaishi.” 29 Lakini yule mwalimu wa sheria akitaka kuon yesha kwamba hoja yake ilikuwa na maana zaidi, akamwuliza Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”
30 Yesu akamjibu, “Mtu mmoja aliteremka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Njiani akashambuliwa na majambazi; wakamwibia kila kitu alichokuwa nacho, wakampiga wakamwacha karibu ya kufa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica