Font Size
Luka 10:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 10:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Haya, nendeni. Ninawatuma kama kondoo kati ya mbwa mwitu. 4 Msichukue mkoba wala mfuko, wala viatu; na msipoteze muda kumsalimu mtu ye yote njiani. 5 Mkiingia nyumba yo yote kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica