Font Size
Luka 10:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 10:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Mnaweza kwenda sasa. Lakini sikilizeni! Ninawatuma na mtakuwa kama kondoo katikati ya mbwa mwitu. 4 Msibebe mfuko wowote, wala pesa au viatu. Msisimame kusalimiana na watu njiani. 5 Kabla ya kuingia katika nyumba, mseme, ‘Amani iwemo katika nyumba hii.’
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International