Font Size
Luka 10:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 10:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Msichukue mkoba wala mfuko, wala viatu; na msipoteze muda kumsalimu mtu ye yote njiani. 5 Mkiingia nyumba yo yote kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’ 6 Kama aishiye humo ni mwenye kupenda amani basi baraka hiyo itakaa naye, la sivyo, itawarudia.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica