Font Size
Luka 10:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 10:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Msibebe mfuko wowote, wala pesa au viatu. Msisimame kusalimiana na watu njiani. 5 Kabla ya kuingia katika nyumba, mseme, ‘Amani iwemo katika nyumba hii.’ 6 Ikiwa watu wanaoishi katika nyumba hiyo wanapenda amani, baraka yenu ya amani itakaa nao. Lakini kama siyo, baraka yenu ya amani itawarudia.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International