Font Size
Luka 10:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 10:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
5 Kabla ya kuingia katika nyumba, mseme, ‘Amani iwemo katika nyumba hii.’ 6 Ikiwa watu wanaoishi katika nyumba hiyo wanapenda amani, baraka yenu ya amani itakaa nao. Lakini kama siyo, baraka yenu ya amani itawarudia. 7 Kaeni katika nyumba inayopenda amani. Kuleni na kunywa chochote watakachowapa kwa maana mfanyakazi anastahili ujira. Msihame kutoka katika nyumba hiyo na kwenda kukaa katika nyumba nyingine.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International