Font Size
Luka 10:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 10:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Kama aishiye humo ni mwenye kupenda amani basi baraka hiyo itakaa naye, la sivyo, itawarudia. 7 Kaeni katika nyumba hiyo mkila na kunywa kile watakachowapa kwa sababu kila mfany akazi anastahili kulipwa mshahara. Msihamehame kutoka nyumba hadi nyumba. 8 Mkienda katika mji mkapokelewa: kuleni mtakachoandal iwa;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica