Font Size
Luka 10:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 10:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Ikiwa watu wanaoishi katika nyumba hiyo wanapenda amani, baraka yenu ya amani itakaa nao. Lakini kama siyo, baraka yenu ya amani itawarudia. 7 Kaeni katika nyumba inayopenda amani. Kuleni na kunywa chochote watakachowapa kwa maana mfanyakazi anastahili ujira. Msihame kutoka katika nyumba hiyo na kwenda kukaa katika nyumba nyingine.
8 Mkiingia katika mji wowote na watu wakawakaribisha, kuleni vyakula watakavyowapa.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International