Font Size
Luka 11:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
10 Kwa kuwa kila anayeomba hupewa; naye atafutaye, hupata; na kila abishaye, hufunguliwa mlango. 11 “Ni baba yupi miongoni mwenu, ambaye mtoto wake akimwomba samaki, atampa nyoka badala yake? 12 Au akimwomba yai atampa nge?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica