Font Size
Luka 11:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
19 Kama mimi ninaondoa pepo kwa nguvu za Beelzebuli, wafuasi wenu je, wao huwaondoa pepo kwa uwezo wa nani? Wao watawaamulia. 20 Lakini kwa kuwa ninaondoa pepo kwa uwezo wa Mungu, basi Ufalme wa Mungu umewajia. 21 Mtu mwenye nguvu aliye na silaha anapoilinda nyumba yake, mali yake ni salama.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica