Font Size
Luka 11:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 Lakini kwa kuwa ninaondoa pepo kwa uwezo wa Mungu, basi Ufalme wa Mungu umewajia. 21 Mtu mwenye nguvu aliye na silaha anapoilinda nyumba yake, mali yake ni salama. 22 Lakini mtu mwenye nguvu zaidi akimshambulia na kumshinda, atamnyang’anya silaha alizozitegemea na kugawanya mali yote.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica