Font Size
Luka 11:27-29
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:27-29
Neno: Bibilia Takatifu
27 Alipokuwa akisema hayo, mwanamke mmoja katika umati akasema kwa nguvu, “ Amebarikiwa mama aliyekuzaa na kukunyon yesha.” 28 Yesu akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulifuata.”
Ishara Ya Yona
29 Umati wa watu ulipozidi kuongezeka, Yesu aliendelea kufundisha akisema, “Watu wa kizazi hiki ni waovu. Wanatafuta ishara lakini hawatapewa ishara yo yote isipokuwa ile ya nabii Yona.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica