Font Size
Luka 11:36-38
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:36-38
Neno: Bibilia Takatifu
36 Ikiwa mwili wako wote una nuru, bila sehemu yo yote kuwa gizani, basi utang’aa kabisa kama inavyokuwa wakati taa inapokuangazia.”
Yesu Awaonya Mafarisayo Na Wanasheria
37 Yesu alipomaliza kuzungumza, Farisayo mmoja alimkaribisha nyumbani kwake kwa chakula. Yesu akaingia na kuketi chakulani moja kwa moja. 38 Farisayo yule alipoona kwamba Yesu hakunawa kwanza kabla ya kula alishangaa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica