Font Size
Luka 11:37-39
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:37-39
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Awaonya Mafarisayo Na Wanasheria
37 Yesu alipomaliza kuzungumza, Farisayo mmoja alimkaribisha nyumbani kwake kwa chakula. Yesu akaingia na kuketi chakulani moja kwa moja. 38 Farisayo yule alipoona kwamba Yesu hakunawa kwanza kabla ya kula alishangaa. 39 Ndipo Bwana akamwambia, “Ninyi Mafarisayo mnasafisha kikombe na sahani kwa nje huku ndani mmejaa udhalimu na uovu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica