Font Size
Luka 11:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
43 “Ole wenu, Mafarisayo! Ninyi mnapenda kuketi viti vya mbele katika masinagogi na kusalimiwa kwa heshima masokoni! 44 Ole wenu! Kwa maana ninyi ni kama makaburi yasiyokuwa na alama, ambayo watu huyakanyaga pasipo kujua.”
45 Mwalimu mmoja wa sheria akasema, “Mwalimu, unapozungumza hivyo unatushutumu na sisi wanasheria!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica