Font Size
Luka 11:44-46
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:44-46
Neno: Bibilia Takatifu
44 Ole wenu! Kwa maana ninyi ni kama makaburi yasiyokuwa na alama, ambayo watu huyakanyaga pasipo kujua.”
45 Mwalimu mmoja wa sheria akasema, “Mwalimu, unapozungumza hivyo unatushutumu na sisi wanasheria!” 46 Yesu akamjibu, “Hata ninyi wanasheria, ole wenu! Mnawabebesha watu mzigo wa sheria ambazo hawawezi kuzitimiza; wala hamfanyi lo lote kuwa saidia iwe rahisi kwao kuzitimiza.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica