Font Size
Luka 11:47-49
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:47-49
Neno: Bibilia Takatifu
47 Ole wenu kwa kuwa mnawa jengea makaburi manabii waliouawa na babu zenu. 48 Kwa kufanya hivyo mnakiri kwamba mnaunga mkono kitendo hicho walichofanya babu zenu. Wao waliua na ninyi mnatengeneza makaburi.
49 “Ndio maana Mungu katika hekima yake alisema, ‘Nita wapeleka manabii na mitume, na baadhi yao watawaua na wengine watawatesa.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica