Font Size
Luka 11:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Yule aliyeko ndani akajibu, ‘Usinisumbue! Nimekwisha kufunga mlango. Na mimi na watoto wangu tumelala. Siwezi kuamka kukupa cho chote.’ 8 “Nawaambieni, hata kama huyo mtu hataamka na kumpa mikate kwa sababu ni rafiki yake, lakini kwa sababu ameendelea kuomba bila kukata tamaa ataamka ampe kiasi anachohitaji. 9 Kwa hiyo nawaambia, ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni, nanyi mtafunguliwa mlango.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica