Font Size
Luka 11:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 11:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 “Nawaambieni, hata kama huyo mtu hataamka na kumpa mikate kwa sababu ni rafiki yake, lakini kwa sababu ameendelea kuomba bila kukata tamaa ataamka ampe kiasi anachohitaji. 9 Kwa hiyo nawaambia, ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni, nanyi mtafunguliwa mlango. 10 Kwa kuwa kila anayeomba hupewa; naye atafutaye, hupata; na kila abishaye, hufunguliwa mlango.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica