Font Size
Luka 12:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 12:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
10 Na kila atakayesema neno baya kunihusu mimi Mwana wa Adamu atasamehewa. Lakini mtu anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa. 11 “Na watakapowapeleka katika masinagogi mbele ya watawala na mamlaka, msiwe na wasiwasi kuhusu mtakavyojitetea au mtakavyosema: 12 kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisha mnachopaswa kusema.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica