Font Size
Luka 12:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 12:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
10 Kila asemaye neno kinyume na Mwana wa Adamu atasamehewa. Lakini atakayesema kinyume na Roho Mtakatifu hatasamehewa.
11 Watakapowapeleka ninyi katika masinagogi mbele ya viongozi na wenye mamlaka, msihangaike mtasema nini. 12 Roho Mtakatifu atawafundisha wakati huo huo mnachopaswa kusema.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International