Font Size
Luka 12:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 12:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
11 Watakapowapeleka ninyi katika masinagogi mbele ya viongozi na wenye mamlaka, msihangaike mtasema nini. 12 Roho Mtakatifu atawafundisha wakati huo huo mnachopaswa kusema.”
Yesu Aaonya Kuhusu Ubinafsi
13 Mmoja wa watu katika kundi akamwambia Yesu, “Mwalimu, baba yetu amefariki hivi karibuni na ametuachia vitu, mwambie kaka yangu anigawie baadhi ya vitu hivyo!”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International