Add parallel Print Page Options

12 Roho Mtakatifu atawafundisha wakati huo huo mnachopaswa kusema.”

Yesu Aaonya Kuhusu Ubinafsi

13 Mmoja wa watu katika kundi akamwambia Yesu, “Mwalimu, baba yetu amefariki hivi karibuni na ametuachia vitu, mwambie kaka yangu anigawie baadhi ya vitu hivyo!”

14 Lakini Yesu akamwambia, “Nani amesema mimi ni mwamuzi wa kuwaamulia namna ya ninyi wawili kugawana vitu vya baba yenu?”

Read full chapter