Font Size
Luka 12:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 12:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
14 Yesu akamwam bia, Rafiki, ni nani aliyenifanya mimi niwe hakimu wenu au mga wanyaji wa urithi wenu?” 15 Ndipo akawaambia, “Jihadharini na jilindeni na aina zote za choyo. Kwa maana uhai wa mtu hautokani na wingi wa mali aliyo nayo.”
16 Kisha akawaambia mfano, “Shamba la tajiri mmoja lilizaa sana.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica