Font Size
Luka 12:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 12:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
17 Akawaza moyoni mwake, ‘Nifanye nini? Maana sina mahali pa kuweka mavuno yangu.’ 18 Kisha akasema, ‘Nitafanya hivi: nitabomoa maghala yangu na kujenga maghala makubwa zaidi na huko nitaweka mavuno yangu yote na vitu vyangu. 19 Na nitasema moy oni, ‘Hakika nina bahati! Ninayo mali ya kunitosha kwa miaka mingi. Sasa nitapumzika: nile, ninywe na kustarehe.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica