Font Size
Luka 12:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 12:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 “Hakuna jambo lililofunikwa ambalo halitafunuliwa au siri iliyofichwa ambayo haitajulikana. 3 Kwa hiyo, yote mliyosema gizani yatasikiwa mchana: na yote mliyonong’onezana mkiwa mmeji fungia chumbani, yatatangazwa hadharani.
4 “Nawambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili, na halafu basi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica