Font Size
Luka 12:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 12:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Ndege wanapouzwa, ndege watano wadogo wanagharimu senti mbili tu za shaba. Lakini Mungu hasahau hata mmoja wao. 7 Ndiyo, Mungu anajua hata idadi ya nywele mlizonazo kwenye vichwa vyenu. Msiogope ninyi ni wa thamani kuliko ndege wengi.
Msiionee Haya Imani Yenu
(Mt 10:32-33; 12:32; 10:19-20)
8 Ninawaambia, mkinikiri mbele za watu, ndipo nami[a] nitakiri kuwa ninyi ni wangu mbele za Mungu na malaika.
Read full chapterFootnotes
- 12:8 nami Kwa maana ya kawaida, “Mwana wa Mtu” (Yesu Kristo).
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International