Font Size
Luka 12:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 12:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Msiionee Haya Imani Yenu
(Mt 10:32-33; 12:32; 10:19-20)
8 Ninawaambia, mkinikiri mbele za watu, ndipo nami[a] nitakiri kuwa ninyi ni wangu mbele za Mungu na malaika. 9 Na atakayenikataa mimi mbele za watu, nami nitamkataa mbele za Mungu na malaika.
10 Kila asemaye neno kinyume na Mwana wa Adamu atasamehewa. Lakini atakayesema kinyume na Roho Mtakatifu hatasamehewa.
Read full chapterFootnotes
- 12:8 nami Kwa maana ya kawaida, “Mwana wa Mtu” (Yesu Kristo).
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International