Font Size
Luka 13:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 13:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
16 Je, huyu mama, ambaye ni binti wa Ibrahimu aliyefungwa na shetani kwa miaka yote hii kumi na minane, hastahili kufunguliwa kutoka katika kifungo hicho siku ya sabato?” 17 Aliposema haya, wapinzani wake wakaona aibu lakini watu wakafurahi kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyoyafanya. Mfano Wa Punje Ya Haradali
18 Kisha Yesu akauliza, “Ufalme wa Mungu ukoje? Nitaufanan isha na nini?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica