Font Size
Luka 13:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 13:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Mfano Wa Hamira
20 Yesu akauliza tena, “Nitaufananisha na nini Ufalme wa Mungu? 21 Uko kama hamira ambayo mwanamke aliichukua na kuichan ganya kwenye vipimo vitatu vya unga wa ngano na wote ukaumuka.”
Mlango Mwembamba
22 Yesu akapita katika miji na vijiji akifundisha wakati akisafiri kwenda Yerusalemu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica