Font Size
Luka 13:20-22
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 13:20-22
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
20 Yesu akasema tena, “Niufananishe na nini ufalme wa Mungu? 21 Ufalme wa Mungu unafanana na kiasi kidogo cha chachu ambacho mwanamke hutumia kuchanganya na kilo 20 za unga kutengeneza mkate. Hamira huumua kinyunya[a] chote.”
Mlango Mwembamba
(Mt 7:13-14,21-23)
22 Yesu alikuwa akifundisha katika kila mji na kijiji. Aliendelea kusafiri kuelekea Yerusalemu.
Read full chapterFootnotes
- 13:21 kinyunya Mchanganyiko wa unga wa ngano na maji Ulio tayari kwa ajili ya kutengeneza mikate.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International