Font Size
Luka 13:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 13:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
21 Ufalme wa Mungu unafanana na kiasi kidogo cha chachu ambacho mwanamke hutumia kuchanganya na kilo 20 za unga kutengeneza mkate. Hamira huumua kinyunya[a] chote.”
Mlango Mwembamba
(Mt 7:13-14,21-23)
22 Yesu alikuwa akifundisha katika kila mji na kijiji. Aliendelea kusafiri kuelekea Yerusalemu. 23 Mtu mmoja akamwuliza, “Bwana, watu wangapi wataokolewa? Ni wachache?”
Yesu akajibu,
Read full chapterFootnotes
- 13:21 kinyunya Mchanganyiko wa unga wa ngano na maji Ulio tayari kwa ajili ya kutengeneza mikate.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International