Font Size
Luka 13:22-24
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 13:22-24
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mlango Mwembamba
(Mt 7:13-14,21-23)
22 Yesu alikuwa akifundisha katika kila mji na kijiji. Aliendelea kusafiri kuelekea Yerusalemu. 23 Mtu mmoja akamwuliza, “Bwana, watu wangapi wataokolewa? Ni wachache?”
Yesu akajibu, 24 “Mlango wa kuingia katika ufalme wa Mungu ni mwembamba. Jitahidini kuingia kupitia mlango huo. Watu wengi watataka kuingia huko, lakini hawataweza.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International