Font Size
Luka 13:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 13:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
26 Nanyi mtamjibu, ‘Tulikula na kunywa pamoja nawe, ulifundisha katika mitaa yetu!’ 27 Lakini yeye atawajibu, ‘Sijui mtokako. Ondokeni kwangu ninyi watenda maovu!’ 28 Ndipo kutakuwapo na kilio na kusaga meno mtakapomwona Ibrahimu, Isaka na Yakobo na manabii wote wakiwa katika Ufalme wa Mungu, wakati ninyi mkiwa mmetupwa nje.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica