Font Size
Luka 13:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 13:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Kisha akamwambia mtunza shamba:, ‘Kwa muda wa miaka mitatu sasa nimekuwa nikija kutafuta matunda kwenye mtini huu, sijawahi kupata hata moja. Ukate, sioni kwa nini uendelee kutumia ardhi bure!’ 8 Yule mtunza shamba akam jibu, ‘Bwana, tuuache tena kwa mwaka mmoja zaidi, niulimie, niuwekee mbolea. 9 Ukizaa matunda, vema; na usipozaa baada ya hapo, utaukata.”’ Yesu Amponya Mwanamke Siku Ya Sabato
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica