Font Size
Luka 13:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 13:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Yule mtunza shamba akam jibu, ‘Bwana, tuuache tena kwa mwaka mmoja zaidi, niulimie, niuwekee mbolea. 9 Ukizaa matunda, vema; na usipozaa baada ya hapo, utaukata.”’ Yesu Amponya Mwanamke Siku Ya Sabato
10 Siku moja ya sabato, Yesu alikuwa akifundisha katika sinagogi mojawapo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica