Font Size
Luka 13:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 13:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Lakini mtumishi alijibu, ‘Mkuu, tuuache mti huu mwaka mmoja zaidi ili tuone ikiwa utazaa matunda. Nitakusanya samadi kuuzunguka ili kuupa mbolea. 9 Unaweza kuzaa matunda mwaka ujao. Ikiwa hautazaa, ndipo utaweza kuukata.’”
Yesu Amponya Mwanamke Siku ya Sabato
10 Yesu alikuwa akifundisha katika sinagogi moja siku ya Sabato.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International