Font Size
Luka 13:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 13:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
9 Ukizaa matunda, vema; na usipozaa baada ya hapo, utaukata.”’ Yesu Amponya Mwanamke Siku Ya Sabato
10 Siku moja ya sabato, Yesu alikuwa akifundisha katika sinagogi mojawapo. 11 Na hapo alikuwapo mwanamke mmoja alikuwa ameugua kwa muda wa miaka kumi na minane kutokana na pepo ali yekuwa amemwingia. Hali hiyo ilimfanya mwanamke huyo apindike hata asiweze kusimama wima.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica