Font Size
Luka 16:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 16:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
10 “Mtu ambaye ni mwaminifu katika mambo madogo, atakuwa mwaminifu hata katika mambo makubwa; na mtu ambaye si mwaminifu katika mambo madogo hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa. 11 Na ikiwa hamkuwa waaminifu katika kutunza mali ya dunia hii, ni nani atakayewaamini awakabidhi mali ya kweli? 12 Na kama ham kuwa waaminifu na mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa mali yenu wenyewe?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica