Font Size
Luka 16:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 16:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Sheria Na Ufalme Wa Mungu
16 “Sheria ya Musa na Maandiko ya manabii yalitumiwa mpaka wakati wa Yohana Mbatizaji. Tangu wakati huo Habari Njema za Ufalme wa Mungu zinahubiriwa na kila mtu anafanya bidii kuingia huko. 17 Lakini ni rahisi zaidi kwa mbingu na nchi kutoweka kuliko hata herufi moja katika sheria kufutwa.
18 Mtu ye yote anayempa mke wake talaka na kumwoa mke mwin gine anazini, na mwanamume amwoaye mwanamke aliyeachwa na mumewe, ewe, anazini.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica