Font Size
Luka 16:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 16:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
17 Lakini ni rahisi zaidi kwa mbingu na nchi kutoweka kuliko hata herufi moja katika sheria kufutwa.
18 Mtu ye yote anayempa mke wake talaka na kumwoa mke mwin gine anazini, na mwanamume amwoaye mwanamke aliyeachwa na mumewe, ewe, anazini.”
Mfano Wa Tajiri Na Maskini Lazaro
19 Akasema, “Palikuwa na tajiri mmoja aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, nguo za gharama kubwa, kila siku.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica