Font Size
Luka 16:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 16:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 Mtu ye yote anayempa mke wake talaka na kumwoa mke mwin gine anazini, na mwanamume amwoaye mwanamke aliyeachwa na mumewe, ewe, anazini.”
Mfano Wa Tajiri Na Maskini Lazaro
19 Akasema, “Palikuwa na tajiri mmoja aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, nguo za gharama kubwa, kila siku. 20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima, alikuwa akiletwa mlangoni kwa huyo tajiri kila siku.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica